April 17, 2018
Ni sharti sekta ya afya ipewe kipau mbele katika Kaunti ya Mombasa ili kuwawezesha akina mama waja wazito kujifungua katika mazingira bora na salama.
Read moreApril 20, 2018
Serikali kupitia wizara ya ardhi humu nchini imeombwa kutembelea na kutatua matatizo ya ardhi yanayo kumba wakaazi wa Lango Baya kaunti ndogo ya Malindi.
Read moreApril 17, 2018
Ni sharti sekta ya afya ipewe kipau mbele katika Kaunti ya Mombasa ili kuwawezesha akina mama waja wazito kujifungua katika mazingira bora na salama.
Read more
Kijana Awadh Omar Faraj aliyetoweka katika hali tata siku 10 zilizopita nyumbani kwao huko Ganjoni Kaunti ya Mombasa amepatikana akiwa salama katika ufukwe wa Bahari wa Diani Kaunti ya Kwale.
Read moreApril 16, 2018
Katika juhudi za kuhifadhi mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, Radio Kaya imeanzisha kampeni ya upandaji miti.
Read more
Picha/Maktaba Naibu mwenyekiti wa IEBC Consolata Nkatha Maina, Margaret Mwachanya na Paul Kurgat wametangaza kujiuzulu kwao wakitaja kutoridhishwa na uongozi wa Mwenyekiti wa tume hiyo Wafula Chebukati.
Read moreApril 15, 2018
Spika wa bunge la Seneti, Ken Lusaka amesema kuwa serikali za kaunti kote nchini zitapewa nguvu zaidi ili kuimarisha mfumo wa ugatuzi.
Read moreApril 13, 2018
Shirika linaloangazia maswala ya ardhi nchini la ‘Residents Land Protection Organization of Kenya’ RLPOK, sasa linadai litaelekea Mahakamani kuzishtaki idara mbalimbali za Serikali zinazohusishwa na unyanyasa wa mwananchi na kumfurusha kwenye ardhi yake.
Read more
Familia moja eneo la Ganjoni kaunti ya Mombasa inaitaka idara ya usalama kuidhinisha uchunguzi wa kina ili kubaini kule aliko mwana wao aliyetoweka nyumbani katika njia ya kutatanisha yapata siku 7 sasa.
Read moreApril 10, 2018
Kamishna wa kaunti ya Mombasa Evans Achoki amesema idara ya usalama ya kaunti hiyo itakabiliana kikamilifu na magenge ya wahalifu yanayowahangaisha wakaazi wa hiyo.
Read more