Kampuni ya saruji ya Mombasa Cement imeanzisha rasmi shughuli zake za kila mwaka za kuboresha hadhi ya jiji la Mombasa msimu huu wa sherehe

Kampuni ya saruji ya Mombasa Cement imeanzisha rasmi shughuli zake za kila mwaka za kuboresha hadhi ya jiji la Mombasa msimu huu wa sherehe za krismasi na mwaka mpya mtawalia. Akizungumza kwenye barabara ya mzunguko ya Makupa gatuzi dogo la Mvita msimamizi mkuu wa mradi huo Gullam Mustapha Salim amesema hatua hiyo ni njia moja […]
Rais William Ruto kuongoza kikao cha baraza la mawaziri siku ya Jumatatu.

Rais William Ruto ameweka wazi kwamba safari ya kubadilisha taifa la Kenya kuwa taifa lililoendelea itaanza rasmi siku ya Jumatatu wakati wa kikao cha baraza la mawaziri. Akizungumza huko Gatundu kaunti ya Kiambu, rais Ruto amesema wakati wa kikao hicho baraza la mawaziri litaidhinisha hazina maalum ya miundo mbinu itakayohakikisha serikali inakusanya shilingi trilioni 5 […]