Tamasha la Mr and Ms Samba limeratibiwa kufika kilele siku ya Jumamosi tarehe 20 Disemba katika ukumbi wa Aveon Schools

Tamasha la Mr and Ms Samba limeratibiwa kufika kilele siku ya jumamosi tarehe 20 Desemba katika ukumbi wa Aveon Schools huko Kinondo eneo bunge la Msambweni kaunti ya Kwale. Mkurugenzi wa shirika la Samba Sports Youth Trust muandalizi mkuu wa tamasha hilo Mohammed Mwachausa, amesema tamasha hilo halijajikita katika masuala ya ulimbwende pekee bali pia katika masuala […]
Baraza la Mawaziri limeidhinisha Sera ya Kitaifa kuhusu Jamii za Wachache za Kikabila, Asili na Zilizotengwa

Rais William Ruto ametangaza kwamba Baraza la Mawaziri limeidhinisha Sera ya Kitaifa kuhusu Jamii za Wachache za Kikabila, Asili na Zilizotengwa. Rais aliielezea kama hatua kubwa kuelekea kutimiza ulinzi wa kikatiba kwa makundi yaliyo hatarini. Akizungumza wakati wa Siku ya Kimataifa ya Haki za Wachache Alhamisi, Rais Ruto alisema sera hiyo inatoa ramani kamili ya […]
Rais Ruto analenga kuingia kwenye makubaliano mapya na chama cha ODM ya kuunda serikali ya pamoja mwaka 2027.

Kwa mara nyengine tena rais William Ruto ameeleza azma yake ya kuendelea kufanya kazi na chama cha ODM hadi wakati wa uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2027. Akizungumza siku ya Jumatano katika kaunti ya Migori rais Ruto amefichua kwamba analenga kuingia kwenye makubaliano mapya na chama cha ODM ya kuunda serikali ya pamoja mwaka 2027. […]
Serikali imewaokoa wakenya 18 waliokua wamesajiliwa kushiriki vita kati ya Urusi na Ukraine.

Serikali ya kitaifa imefichua kwamba imefanikiwa kuwaokoa wakenya 18 waliokua wamesajiliwa katika vita vinavyoendelea kati ya Urusi na Ukraine. Kulingana na wizara ya masuala ya kigeni, wakenya hao wameokolewa baada ya kupiga simu wakiwa katika hali ya mfadhaiko, na tayari wamepewa nakala za dharura za kusafiri ili kurejea humu nchini. Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi […]
Wadau katika sekta ya elimu waitaka serikali kutoa hamasa kuhusiana na mtaala mpya wa elimu wa CBE.

Baadhi ya walimu wa shule za sekondari msingi katika kaunti ya Mombasa wameitaka wizara ya elimu nchini na wadau katika sekta hiyo kutoa hamasa kwa jamii kuhusiana na mtaala mpya wa elimu sawia na matokeo ya mitihani ya mitaala hiyo. Akizungumza baada ya kupokea matokeo ya wanafunzi wa shule ya kijamii ya Bhadala Comprehensive katika […]
Ajali za barabarani ugharimu Kenya asilimia 5 ya pato la taifa, yasema wizara ya uchukuzi

Waziri wa uchukuzi nchini Davis Chirchir ameeleza hofu kuhusu mzigo wa kiuchumi unaotokana na ajali za barabarani, akisema kila mwaka ajali za barabarani ugharimu Kenya ya asilimia tano ya pato lake la taifa. Kulingana na Chirchir Kenya hupoteza shilingi bilioni 800 kila mwaka kutokana na ajali za barabarani, na kiwango hicho ni gharama kubwa kwa […]
Bashatir awakosoa vikali wanaolenga kukigawanya chama cha UDA Mombasa

Mgombea wa kiti cha ubunge wa Kisauni kupitia kwa chama cha UDA katika kaunti ya Mombasa Mbarak Said Bashatir amewakosoa vikali baadhi ya viongozi wa chama hicho katika kaunti hiyo kwa kutaka kuleta mfurukano na mgawanyiko kati ya wanachama wa chama hicho katika kaunti ya Mombasa. Akizungumza kwenye mahojiano ya moja kwa moja na mwanahabari […]