Radiokaya

Friday, 13 February, 2026    3:27 pm

Play Listen Live

Kenya pushes large scale irrigation amid driving food insecurity

TANA RIVER, Kenya, Dec, 19, 2025-As drought continues to affect several counties countrywide, the Government is intensifying investment in large-scale irrigation projects to boost food production and strengthen national food security. Agriculture and Livestock Development Cabinet Secretary Mutahi Kagwe on Thursday toured the Galana/Kulalu Irrigation Scheme in Tana River County, where he underscored the importance […]

Baraza la mawaziri nchini limeidhinisha sera ya kitaifa kuhusu jamii za wachache, jamii zilizotengwa na wenyeji asili

Baraza la mawaziri nchini limeidhinisha sera ya kitaifa kuhusu jamii za wachache, jamii zilizotengwa na wenyeji asili, na kupitishwa sera hiyo kutahakikisha mageuzi katika mchakato wa uajiri kwenye huduma za umma. Rais William Ruto wakati akitoa tangazo hilo amesema sera hiyo itahakikisha jamii za wachache zinajumuishwa na kuwakilishwa kikamilifu katika taasisi zote za serikali kuambatana […]