Radiokaya

Tuesday, 16 December, 2025    6:48 pm

Play Listen Live

ODM Yajizatiti Kuimarisha Umoja na Uthabiti Kabla ya Uchaguzi wa 2027

ODm

ODM Yajizatiti Kuimarisha Umoja na Uthabiti Kabla ya Uchaguzi wa 2027 Chama cha ODM kinapaswa kuwa imara hata zaidi na kuendelea kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027. Seneta wa Kaunti ya Kilifi Stewart Madzayo aliye Kiongozi wa wachache katika Bunge la Seneti amehoji kwamba kwa sasa jambo la msingi chamani ni kujenga udhabiti wa chama […]

Mahakama Yaamua NPSC Haina Mamlaka ya Kuajiri Maafisa wa Polisi

National Police

Mahakama Yaamua NPSC Haina Mamlaka ya Kuajiri Maafisa wa Polisi Mahakama ya Ajira na Mahusiano ya Kazi imetangaza kwamba Tume ya Kitaifa ya Huduma za Polisi (NPSC) haina mamlaka ya kuajiri maafisa wa polisi, ikiamua kwamba shughuli ya  hivi karibuni la kuajiri iliyotangazwa  na tume hiyo lilikuwa kinyume cha katiba. Jaji Hellen Wasilwa, katika uamuzi […]

Mpiga Kura Awasilisha Kesi Akitaka Kusitishwa Maandalizi ya Uchaguzi wa 2027

IEBC

Mpiga Kura Awasilisha Kesi Akitaka Kusitishwa Maandalizi ya Uchaguzi wa 2027 Mpiga kura Benard Mwanzia amewasilisha kesi katika mahakama kuu, akiitaka mahakama kusitisha maandalizi yote ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027, yanayoendelezwa na tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC. Katika kesi hiyo Mwanzia ameibua maswali ya kikatiba kuhusu uhalali na uthabiti wa mfumo wa uchaguzi […]

Massive Tree-Planting Drive Launched to Restore Shimba Hills Forest

Massive Tree-Planting Drive Launched to Restore Shimba Hills Forest Kwale County—Local community groups and conservation partners have kicked off an ambitious campaign to plant 50,000 indigenous trees in the Shimba Hills ecosystem, aiming to reverse years of deforestation and protect endangered wildlife. The initiative, launched today at Kivumoni Forest Station, brings together county officials, Kenya […]