News Catch the latest local news and regional news on your favorite Radio Station Mbogo aahidi Sonko atashinda kiti cha ugavana Mombasa Story by Gabriel Mwaganjoni Uongozi wake Mgombea wa ugavana wa kaunti ya Mombasa Mike Mbuvi Sonko na mgombea mwenza wake Ali Mbogo utaleta mabadiliko msingi ya maendeleo kwa wakaazi wa kaunti hiyo. Chama cha Wiper chakosoa uvumi unaoenezwa kuhusu Kalonzo kurejea Azimio Story by Gabriel Mwaganjoni Japo bado mazungumzo yanaendelea kati ya Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya na Chama cha Wiper kuhusu uwezekano wa Kinara wa chama cha Wiper Stephen Kalonzo Musyoka kurudi tena kwenye muungano huo, kwa sasa Kalonzo ni mgombea wa urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Agosti, 9. Chama cha Jubilee chasema kitaunda serikali kupitia Muungano wa Azimio Story by Gabriel Mwaganjoni Chama cha Jubilee kimesema kitafanya kila juhudi ili kuhakikisha mrengo wa Azimio la Umoja unaunda Serikali baada ya uchaguzi wa Agosti, 9. Wakaazi wa Bamba walalamikia uhaba maji Story by Ephie Harusi Wakaazi wa wadi ya Bamba katika gatuzi ndogo ya Ganze kaunti ya Kilifi wamelalamikia kushuhudiwa kwa uhaba wa maji katika eneo hilo licha ya kuwepo na serikali ya ugatuzi. Shirika la Haki Africa limewasilisha ripoti kwa IEBC kuhusu vurugu za kisiasa Story by Ali Chete Shirika la kutetea haki za binadamu la Haki Africa limewasilisha ripoti ya uchunguzi wa vurugu za kiusalama zilizoshuhudiwa katika kaunti ya Mombasa kufuatia mihemeko ya kisiasa. Nassir awarai wakaazi wa kaunti ya Mombasa kushirikiana kushinda ugavana Story by Gabriel Mwaganjoni Mgombea wa kiti cha ugavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Sharif Nassir amewarai wakaazi wa kaunti hiyo ambao walijiondoa katika mrengo wa Azimio na kushirikiana na mirengo mingine ya kisiasa kurudi katika mrengo huo. Kaunti ya Kwale yaeleza kutoridhishwa na matokeo ya KSCE Story by Janet Shume Wizara ya elimu katika serikali ya kaunti ya Kwale imeeleza kutoridhishwa na matokeo ya mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne KSCE ya mwaka wa 2021 ya wanafunzi waliofadhiliwa kimasomo na serikali ya kaunti hiyo. Matiangi, awataka wahasibu kushiriki kukomesha ufisadi nchini Story by Bakari Ali Waziri wa usalama wa ndani Dkt Fred Matiang’i ameitaka taasisi ya uhasibu nchini ICPAK kushirikiana na idara mbalimbali za serikali kufanikisha vita dhidi ya ufisadi nchini. Wakaazi wahimizwa kupanda miti kwa wingi kudhibiti uharibifu wa mazingira Story by Hussein Mdune Naibu msaidizi wa Kamishna katika eneo la Kasemeni kaunti ya Kwale Peter Sironga Ole masaa amesema mabadiliko ya tabia nchi yamechangiwa na wakaazi katika eneo hilo kujihusisha na ukataji wa miti ovyo. Patience amemteua Mwaghogho kuwa mgombea mwenza wake Story by Hussein Mdune Mgombea wa kiti cha ugavana katika kaunti ya Taita taveta Patience Nyange amemteuwa Dalton Mwaghogho kama mgombea mwenza wake kwenye uchaguzi mkuu wa Agosti tarehe 9 Akizungumza katika halfa iliyoandaliwa mjini Voi, Patience amesema amemchagua Dalton kutokana na tajriba yake kwenye maswala ya Uhasibu huku akihoji kwamba atasaidia pakubwa katika kuinua maisha ya wakaazi wa kaunti hiyo. Noordhin awatahadharisha wananchi dhidi ya kuwachagua viongozi wasio waadilifu Story by Ali Chete Ushirikiano wa mashirika ya kijamii pamoja na idara mbalimbali za kiserikali umepunguza pakubwa visa vya unyanyasaji wa haki pamoja na utekajinyara wa watu kihohela humu nchini. Mung'aro amteua Margaret Chibule kuwa mgombea mwenza wake Story by Our Correspondents Mgombea wa kiti cha ugavana katika kaunti ya Kilifi kupitia chama cha ODM Gedion Mung’aro amemteua Margaret Mbetsa Chibule kuwa mgombea mwenza wake katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu. Mahakama ya Kwale yampa kifungo cha mwezi mmoja gerezani raia wa Ethiopia Story by Rasi Mangale Mahakama ya Kwale imemhukumu kifungo cha mwezi mmoja gerezani raia wa Ethiopia baada ya kupatikana humu nchini kinyume cha sheria. Rais Kenyatta ameteua jopo la watu 7 kumchunguza Jaji Chitembwe Story by Our Correspondents Rais Uhuru Kenyatta ameteua jopo maalum la watu 7 ili kuchunguza madai ya ufisadi yanayomkabili Jaji wa Mahakama mkuu aliyesimamishwa kazi Said Juma Chitembwe. Viongozi wa kidini wahimiza kuheshimiwa kwa wanasiasa wanawake Story by Hussein Mdune Viongozi wa kidini katika kaunti ya Kwale wamejitokeza na kuhimiza kuheshimiwa kwa wanasiasa wanawake wakidai kwamba wana haki sawa ya kikatiba kuwania nyadhfa mbalimbali za kisiasa nchini bila ya kukandamizwa na mtu yeyote. Wanasiasa wahimizwa kufanya kampeni za amani kote nchini Story by Rasi Mangale Viongozi wa kisiasa humu nchini wamehimizwa kutowagawanya wakenya kwa misingi ya kisiasa wakati huu ambapo wananchi wanajiandaa kwa uchaguzi mkuu Mjumbe maalum katika bunge la kaunti ya Kwale Najma Mwandoto, amewahimiza wanasiasa kufanya kampeni za amani sawa na kuwaunganisha wananchi katika msingi ya uwiano. Kalonzo ameteua Sunkuli kuwa mgombea mwenza wake Story by Our Correspondents Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amemteua Andrew Sunkuli kuwa mgombea mwenza wake. Odinga, amemtuea Martha Karua kuwa mgombea mwenza wake Story by Our Correspondents Mgombea wa kiti cha urais kupitia Muungano wa Azimio la umoja One Kenya Raila Odinga, amemteua Martha Karua kuwa mgombea mwenza wake. Wanafunzi ambao hawakufanya vyema katika mtihani wa kitaifa wahimizwa kujiunga na vyuo vya kiufundi Story by Hussein Mdune Shirika linaloshughulikia maswala ya kutoa mafunzo kwa vijana la CAP Youth Empowerment ikiwamo maswala ya kilimo limewahimiza wazazi ambao watoto wao hawajafanya vyema kwenye mitihani ya kitaifa kujiunga na vyuo vya kiufundi. Rais wa milki za kiarabu (UAE) Sheikh Khalifa bin Zayed al-Nahyan amefariki dunia Mmoja wa watu wa familia tajiri zaidi za kifalme duniani Rais wa milki za kiarabu (UAE) Sheikh Khalifa bin Zayed al-Nahyan amefariki akiwa na umri wa miaka 73. Wakaazi wa Kwale wahimizwa kupanda miti kwa wingi kutunza mazingira Story by Hussein Mdune Mkurugenzi mkuu wa Shirika la kutoa ufadhili kwa watoto la Compassion National Kenya Samuel Wambugu amewahimiza wakaazi wa kaunti ya Kwale kuzingatia umuhimu wa utunzi wa mazingira. Wanjigi amulaumu rais Kenyatta kwa kushindwa kukabiliana na ufisadi nchini Story by Our Correspondents Mgombea wa kiti cha urais kupitia chama cha Safina Jimi Wanjigi, amejitokeza na kuikosoa serikali ya Jubilee kwa madai kwamba imeshindwa kukabiliana na swala tata la ufisadi nchini. Kalonzo afika mbele ya kamati inayosaka mgombea mwenza wa Odinga Story by Janet Shume Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amefika mbele ya kamati ya watu Saba inayowapiga msasa waliotuma maombi ya wakenya wanaomezea mate nafasi ya kuwa mgombea Raila Odinga. Watengula, amkosoa Waziri Yattan kutokana na kauli yake ya kuimarika kwa uchumi Story by Gabriel Mwaganjoni Kinara wa Chama cha Ford-Kenya Moses Wetangula amemtaka Waziri wa fedha nchini Ukur Yattan kukoma kuwahadaa wakenya kwamba uchumi wa nchi umeimarika kwa asilimia 7.5. Chama cha Maendeleo Chapchap kimejiunga na Muungano wa Kenya Kwanza Story by Mimuh Mohamed Chama cha Maendeleo Chap Chap kimejiondoa katika Muungano wa Azimio la umoja na kujiunga na muungano wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Naibu rais William Ruto. Wakaazi walioathirka na mafuriko Mombasa wapata msaada Story by Gabriel Mwaganjoni Waqfu wa Shariff Nassir umezindua zoezi la kuwasaidia wakaazi wa kaunti ya Mombasa kwa chakula hususan waathiriwa wa mvua. Muungano wa Azimio kumtangaza mgombea mwenza wa Odinga Story by Our Correspondents- Jopo la watu 7 lililoteuliwa na viongozi wakuu wa Muungano wa Azimio la umoja One Kenya kuwapiga msasa viongozi wanaotaka kuteuliwa kama mgombea mwenza wa Raila Odinga limeanza rasmi zoezi hilo. Chebukati, asema IEBC imeanza zoezi la kupiga msasa sajili ya wapiga kura Story by Our Correspondents- Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imeanza zoezi la kupiga msasa sajili ya wapiga kura, siku 96 kabla ya uchaguzi mkuu kuandaliwa mwezi Agosti 9. Wanjigi asema mauaji ya kiholela nchini ni ukiukaji wa haki za kibinadamu Story by Gabriel Mwaganjoni- Mgombea wa urais kupitia Chama cha Safina Jimi Wanjigi amekemea mauaji ya kiholela na kupotezwa kwa watu humu nchini akiitaja hali hiyo kama ukiukaji wa haki za kibinadamu. Shahbal asisitiza kumuunga mkono Nassir kuwania ugavana Mombasa Story by Gabriel Mwaganjoni- Mfanyabiashara na Mwanasiasa Suleiman Shahbal ameweka wazi kwamba alifanya mashauri ya kina na Kinara wa Muungano wa Azimio la umoja One Kenya Raila Odinga kabla ya kuchukua uamuzi wa kujiondoa katika kinyang’anyiro cha ugavana wa kaunti ya Mombasa. Polisi wamemtia nguvuni kiongozi wa kundi la wahalifu Likoni Story by Gabriel Mwaganjoni Maafisa wa polisi katika eneo la Likoni kaunti ya Mombasa wanamzuilia mshukiwa mmoja wa ujambazi waliyemtia nguvuni. Lung'anzi amtangaza mgombea mwenza wake wa ugavana Story by Hussein Mdune Mgombea wa kiti cha ugavana wa kaunti ya Kwale Mhandisi Lung'anzi Chai amemtangaza rasmi mgombea mwenza wake wa kinyang’anyiro cha ugavqna wa kwale wakati wa uchaguzi mkuu wa Agosti 9. Mwanamke mjamzito ajeruhiwa kwa mapanga na wahalifu Story by Gabriel Mwaganjoni Mwanamke mmoja mjamzito amejeruhiwa vibaya katika eneo la Likoni kaunti ya Mombasa baada ya kukatwa kwa mapanga kichwani. Elungata azindua kitabu cha rambirambi kwa Hayati Kibaki Story by Gabriel Mwaganjoni Mshirikishi mkuu wa utawala kanda ya Pwani John Elungata amezindua shughuli ya kusaini kitabu cha rambirambi cha Rais watatu wa Kenya hayati Mwai Kibaki katika jumba la Uhuru na kazi kaunti ya Mombasa. Balozi Mwakwere akabidhiwa tiketi ya Wiper kuwania ugavana wa Kwale Story by Our Correspondents Chama cha WIPER kimewakabidhi rasmi tiketi ya chama hicho baadhi ya wagombea wa viti vya ugavana nchini ili kujitosa katika kinyang’anyiro hicho cha uchaguzi mkuu wa Agosti 9. Wadau wa mazingira wahimiza umuhimu wa upanzi wa miti Story by Ngombo Jeff Shirikisho la kitaifa la wakulima la KENAFF pamoja na wadau wengine wa kimazingira wazindua sheria ya asilimia 10 ya upanzi wa miti katika eneo la Gede kaunti ya Kilifi. Uharibifu wa misitu ya Kaya umekandamiza uhuru wa kuabudu wa mijikenda Story by Our Correspondents Uharibifu wa misitu ya Kaya na unyakuzi wa ardhi ndio chanzo kikuu kinachokandamiza uhuru wa kuabudu kwa jamii ya wamijikenda. Wazazi wahimizwa kushirikiana na wadau wa elimu Story by Hussein Mdune Mkurugenzi wa elimu katika gatuzi dogo la Samburu Bernad Salim amewataka wakaazi kulitilia mkazo swala la elimu. Balozi Mwakwere amtaja Hayati Kibaki kama kiongozi aliyekuwa mnyenyekevu Story by Mimuh Mohammed Viongozi waliohudumu kama mawaziri wakati wa utawala wa Hayati Emilio Mwai Kibaki wanaendelea kutoa kauli zao kuhusu uongozi wa hayati Kibaki. WHO yahimiza juhudi za mapambano dhidi ya Malaria Story by Mimuh Mohamed Shirika la afya duniani WHO limehimiza uwekezaji na uvumbuzi wa vifaa na dawa zitakazoongeza kasi ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa malaria.
Mbogo aahidi Sonko atashinda kiti cha ugavana Mombasa Story by Gabriel Mwaganjoni Uongozi wake Mgombea wa ugavana wa kaunti ya Mombasa Mike Mbuvi Sonko na mgombea mwenza wake Ali Mbogo utaleta mabadiliko msingi ya maendeleo kwa wakaazi wa kaunti hiyo. Chama cha Wiper chakosoa uvumi unaoenezwa kuhusu Kalonzo kurejea Azimio Story by Gabriel Mwaganjoni Japo bado mazungumzo yanaendelea kati ya Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya na Chama cha Wiper kuhusu uwezekano wa Kinara wa chama cha Wiper Stephen Kalonzo Musyoka kurudi tena kwenye muungano huo, kwa sasa Kalonzo ni mgombea wa urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Agosti, 9. Chama cha Jubilee chasema kitaunda serikali kupitia Muungano wa Azimio Story by Gabriel Mwaganjoni Chama cha Jubilee kimesema kitafanya kila juhudi ili kuhakikisha mrengo wa Azimio la Umoja unaunda Serikali baada ya uchaguzi wa Agosti, 9. Wakaazi wa Bamba walalamikia uhaba maji Story by Ephie Harusi Wakaazi wa wadi ya Bamba katika gatuzi ndogo ya Ganze kaunti ya Kilifi wamelalamikia kushuhudiwa kwa uhaba wa maji katika eneo hilo licha ya kuwepo na serikali ya ugatuzi. Shirika la Haki Africa limewasilisha ripoti kwa IEBC kuhusu vurugu za kisiasa Story by Ali Chete Shirika la kutetea haki za binadamu la Haki Africa limewasilisha ripoti ya uchunguzi wa vurugu za kiusalama zilizoshuhudiwa katika kaunti ya Mombasa kufuatia mihemeko ya kisiasa. Nassir awarai wakaazi wa kaunti ya Mombasa kushirikiana kushinda ugavana Story by Gabriel Mwaganjoni Mgombea wa kiti cha ugavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Sharif Nassir amewarai wakaazi wa kaunti hiyo ambao walijiondoa katika mrengo wa Azimio na kushirikiana na mirengo mingine ya kisiasa kurudi katika mrengo huo. Kaunti ya Kwale yaeleza kutoridhishwa na matokeo ya KSCE Story by Janet Shume Wizara ya elimu katika serikali ya kaunti ya Kwale imeeleza kutoridhishwa na matokeo ya mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne KSCE ya mwaka wa 2021 ya wanafunzi waliofadhiliwa kimasomo na serikali ya kaunti hiyo. Matiangi, awataka wahasibu kushiriki kukomesha ufisadi nchini Story by Bakari Ali Waziri wa usalama wa ndani Dkt Fred Matiang’i ameitaka taasisi ya uhasibu nchini ICPAK kushirikiana na idara mbalimbali za serikali kufanikisha vita dhidi ya ufisadi nchini. Wakaazi wahimizwa kupanda miti kwa wingi kudhibiti uharibifu wa mazingira Story by Hussein Mdune Naibu msaidizi wa Kamishna katika eneo la Kasemeni kaunti ya Kwale Peter Sironga Ole masaa amesema mabadiliko ya tabia nchi yamechangiwa na wakaazi katika eneo hilo kujihusisha na ukataji wa miti ovyo. Patience amemteua Mwaghogho kuwa mgombea mwenza wake Story by Hussein Mdune Mgombea wa kiti cha ugavana katika kaunti ya Taita taveta Patience Nyange amemteuwa Dalton Mwaghogho kama mgombea mwenza wake kwenye uchaguzi mkuu wa Agosti tarehe 9 Akizungumza katika halfa iliyoandaliwa mjini Voi, Patience amesema amemchagua Dalton kutokana na tajriba yake kwenye maswala ya Uhasibu huku akihoji kwamba atasaidia pakubwa katika kuinua maisha ya wakaazi wa kaunti hiyo. Noordhin awatahadharisha wananchi dhidi ya kuwachagua viongozi wasio waadilifu Story by Ali Chete Ushirikiano wa mashirika ya kijamii pamoja na idara mbalimbali za kiserikali umepunguza pakubwa visa vya unyanyasaji wa haki pamoja na utekajinyara wa watu kihohela humu nchini. Mung'aro amteua Margaret Chibule kuwa mgombea mwenza wake Story by Our Correspondents Mgombea wa kiti cha ugavana katika kaunti ya Kilifi kupitia chama cha ODM Gedion Mung’aro amemteua Margaret Mbetsa Chibule kuwa mgombea mwenza wake katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu. Mahakama ya Kwale yampa kifungo cha mwezi mmoja gerezani raia wa Ethiopia Story by Rasi Mangale Mahakama ya Kwale imemhukumu kifungo cha mwezi mmoja gerezani raia wa Ethiopia baada ya kupatikana humu nchini kinyume cha sheria. Rais Kenyatta ameteua jopo la watu 7 kumchunguza Jaji Chitembwe Story by Our Correspondents Rais Uhuru Kenyatta ameteua jopo maalum la watu 7 ili kuchunguza madai ya ufisadi yanayomkabili Jaji wa Mahakama mkuu aliyesimamishwa kazi Said Juma Chitembwe. Viongozi wa kidini wahimiza kuheshimiwa kwa wanasiasa wanawake Story by Hussein Mdune Viongozi wa kidini katika kaunti ya Kwale wamejitokeza na kuhimiza kuheshimiwa kwa wanasiasa wanawake wakidai kwamba wana haki sawa ya kikatiba kuwania nyadhfa mbalimbali za kisiasa nchini bila ya kukandamizwa na mtu yeyote. Wanasiasa wahimizwa kufanya kampeni za amani kote nchini Story by Rasi Mangale Viongozi wa kisiasa humu nchini wamehimizwa kutowagawanya wakenya kwa misingi ya kisiasa wakati huu ambapo wananchi wanajiandaa kwa uchaguzi mkuu Mjumbe maalum katika bunge la kaunti ya Kwale Najma Mwandoto, amewahimiza wanasiasa kufanya kampeni za amani sawa na kuwaunganisha wananchi katika msingi ya uwiano. Kalonzo ameteua Sunkuli kuwa mgombea mwenza wake Story by Our Correspondents Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amemteua Andrew Sunkuli kuwa mgombea mwenza wake. Odinga, amemtuea Martha Karua kuwa mgombea mwenza wake Story by Our Correspondents Mgombea wa kiti cha urais kupitia Muungano wa Azimio la umoja One Kenya Raila Odinga, amemteua Martha Karua kuwa mgombea mwenza wake. Wanafunzi ambao hawakufanya vyema katika mtihani wa kitaifa wahimizwa kujiunga na vyuo vya kiufundi Story by Hussein Mdune Shirika linaloshughulikia maswala ya kutoa mafunzo kwa vijana la CAP Youth Empowerment ikiwamo maswala ya kilimo limewahimiza wazazi ambao watoto wao hawajafanya vyema kwenye mitihani ya kitaifa kujiunga na vyuo vya kiufundi. Rais wa milki za kiarabu (UAE) Sheikh Khalifa bin Zayed al-Nahyan amefariki dunia Mmoja wa watu wa familia tajiri zaidi za kifalme duniani Rais wa milki za kiarabu (UAE) Sheikh Khalifa bin Zayed al-Nahyan amefariki akiwa na umri wa miaka 73. Wakaazi wa Kwale wahimizwa kupanda miti kwa wingi kutunza mazingira Story by Hussein Mdune Mkurugenzi mkuu wa Shirika la kutoa ufadhili kwa watoto la Compassion National Kenya Samuel Wambugu amewahimiza wakaazi wa kaunti ya Kwale kuzingatia umuhimu wa utunzi wa mazingira. Wanjigi amulaumu rais Kenyatta kwa kushindwa kukabiliana na ufisadi nchini Story by Our Correspondents Mgombea wa kiti cha urais kupitia chama cha Safina Jimi Wanjigi, amejitokeza na kuikosoa serikali ya Jubilee kwa madai kwamba imeshindwa kukabiliana na swala tata la ufisadi nchini. Kalonzo afika mbele ya kamati inayosaka mgombea mwenza wa Odinga Story by Janet Shume Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amefika mbele ya kamati ya watu Saba inayowapiga msasa waliotuma maombi ya wakenya wanaomezea mate nafasi ya kuwa mgombea Raila Odinga. Watengula, amkosoa Waziri Yattan kutokana na kauli yake ya kuimarika kwa uchumi Story by Gabriel Mwaganjoni Kinara wa Chama cha Ford-Kenya Moses Wetangula amemtaka Waziri wa fedha nchini Ukur Yattan kukoma kuwahadaa wakenya kwamba uchumi wa nchi umeimarika kwa asilimia 7.5. Chama cha Maendeleo Chapchap kimejiunga na Muungano wa Kenya Kwanza Story by Mimuh Mohamed Chama cha Maendeleo Chap Chap kimejiondoa katika Muungano wa Azimio la umoja na kujiunga na muungano wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Naibu rais William Ruto. Wakaazi walioathirka na mafuriko Mombasa wapata msaada Story by Gabriel Mwaganjoni Waqfu wa Shariff Nassir umezindua zoezi la kuwasaidia wakaazi wa kaunti ya Mombasa kwa chakula hususan waathiriwa wa mvua. Muungano wa Azimio kumtangaza mgombea mwenza wa Odinga Story by Our Correspondents- Jopo la watu 7 lililoteuliwa na viongozi wakuu wa Muungano wa Azimio la umoja One Kenya kuwapiga msasa viongozi wanaotaka kuteuliwa kama mgombea mwenza wa Raila Odinga limeanza rasmi zoezi hilo. Chebukati, asema IEBC imeanza zoezi la kupiga msasa sajili ya wapiga kura Story by Our Correspondents- Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imeanza zoezi la kupiga msasa sajili ya wapiga kura, siku 96 kabla ya uchaguzi mkuu kuandaliwa mwezi Agosti 9. Wanjigi asema mauaji ya kiholela nchini ni ukiukaji wa haki za kibinadamu Story by Gabriel Mwaganjoni- Mgombea wa urais kupitia Chama cha Safina Jimi Wanjigi amekemea mauaji ya kiholela na kupotezwa kwa watu humu nchini akiitaja hali hiyo kama ukiukaji wa haki za kibinadamu. Shahbal asisitiza kumuunga mkono Nassir kuwania ugavana Mombasa Story by Gabriel Mwaganjoni- Mfanyabiashara na Mwanasiasa Suleiman Shahbal ameweka wazi kwamba alifanya mashauri ya kina na Kinara wa Muungano wa Azimio la umoja One Kenya Raila Odinga kabla ya kuchukua uamuzi wa kujiondoa katika kinyang’anyiro cha ugavana wa kaunti ya Mombasa. Polisi wamemtia nguvuni kiongozi wa kundi la wahalifu Likoni Story by Gabriel Mwaganjoni Maafisa wa polisi katika eneo la Likoni kaunti ya Mombasa wanamzuilia mshukiwa mmoja wa ujambazi waliyemtia nguvuni. Lung'anzi amtangaza mgombea mwenza wake wa ugavana Story by Hussein Mdune Mgombea wa kiti cha ugavana wa kaunti ya Kwale Mhandisi Lung'anzi Chai amemtangaza rasmi mgombea mwenza wake wa kinyang’anyiro cha ugavqna wa kwale wakati wa uchaguzi mkuu wa Agosti 9. Mwanamke mjamzito ajeruhiwa kwa mapanga na wahalifu Story by Gabriel Mwaganjoni Mwanamke mmoja mjamzito amejeruhiwa vibaya katika eneo la Likoni kaunti ya Mombasa baada ya kukatwa kwa mapanga kichwani. Elungata azindua kitabu cha rambirambi kwa Hayati Kibaki Story by Gabriel Mwaganjoni Mshirikishi mkuu wa utawala kanda ya Pwani John Elungata amezindua shughuli ya kusaini kitabu cha rambirambi cha Rais watatu wa Kenya hayati Mwai Kibaki katika jumba la Uhuru na kazi kaunti ya Mombasa. Balozi Mwakwere akabidhiwa tiketi ya Wiper kuwania ugavana wa Kwale Story by Our Correspondents Chama cha WIPER kimewakabidhi rasmi tiketi ya chama hicho baadhi ya wagombea wa viti vya ugavana nchini ili kujitosa katika kinyang’anyiro hicho cha uchaguzi mkuu wa Agosti 9. Wadau wa mazingira wahimiza umuhimu wa upanzi wa miti Story by Ngombo Jeff Shirikisho la kitaifa la wakulima la KENAFF pamoja na wadau wengine wa kimazingira wazindua sheria ya asilimia 10 ya upanzi wa miti katika eneo la Gede kaunti ya Kilifi. Uharibifu wa misitu ya Kaya umekandamiza uhuru wa kuabudu wa mijikenda Story by Our Correspondents Uharibifu wa misitu ya Kaya na unyakuzi wa ardhi ndio chanzo kikuu kinachokandamiza uhuru wa kuabudu kwa jamii ya wamijikenda. Wazazi wahimizwa kushirikiana na wadau wa elimu Story by Hussein Mdune Mkurugenzi wa elimu katika gatuzi dogo la Samburu Bernad Salim amewataka wakaazi kulitilia mkazo swala la elimu. Balozi Mwakwere amtaja Hayati Kibaki kama kiongozi aliyekuwa mnyenyekevu Story by Mimuh Mohammed Viongozi waliohudumu kama mawaziri wakati wa utawala wa Hayati Emilio Mwai Kibaki wanaendelea kutoa kauli zao kuhusu uongozi wa hayati Kibaki. WHO yahimiza juhudi za mapambano dhidi ya Malaria Story by Mimuh Mohamed Shirika la afya duniani WHO limehimiza uwekezaji na uvumbuzi wa vifaa na dawa zitakazoongeza kasi ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa malaria.