News Catch the latest local news and regional news on your favorite Radio Station Edwin Sifuna amesema mchakato wa kuunda chama cha kisiasa cha Pwani hautafaulu Picha kwa hisani - Katibu mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna amesema mchakato unaoendelezwa na baadhi ya wanasiasa wa pwani wa kuunda chama kipya cha kisiasa cha pwani hautafaulu. Hakuna aliyelazimishwa kutumia daraja la Liwatoni,lajitetea shirika la huduma za feri Picha kwa hisani - Shirika la huduma za feri limeweka wazi kwamba halijamlazimisha mkaazi yeyote kutumia daraja la Liwatoni,japo hali hiyo hutokea wakati kivuko cha feri cha Likoni kinapokumbwa na hali tata. Zoezi la kusajili makurutu katika shirika la KWS laendelezwa hii leo Zoezi la kusajili makurutu wa shirika la huduma kwa wanyamapori nchini KWS linaendelea kwa sasa katika kaunti mbali mbali za pwani na kwengineko nchini. Kenya itatekeleza mipango yote ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga Picha kwa hisani - Rais Uhuru Kenyatta amethibitisha kujitolea kwa Kenya kutekeleza mipango ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga ulimwenguni. Kibicho,aandikisha taaarifa kwa DCI kufuatia madai ya kupanga vurugu mwaka 2017 Picha kwa hisani - Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani Dkt Karanja Kibicho ameandikisha taarifa kwa idara ya upelekezi wa jinai nchini DCI kuhusu madai yaliyoibuliwa na aliyekuuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko ya kupanga vurugu wakati wa uchaguzi mkuu 2017. Rais wa Ethiopia afanya ziara ya siku moja nchini Tanzania Picha kwa hisani - Rais wa Ethiopia,Sahle-Work Zewde ametembelea Tanzania, katika ziara ya siku moja. KUPPET na KNUT kuwaondoa waalimu wanaohudumu katika eneo lenye mzozo huko Kapedo Picha cha hisani - Vyama vya waalimu nchini KNUT na KUPPET vimetitishia kuwaondoa waalimu wanaohudumu katika maeneo ya Kapedo,kaunti ya turkana na Baringo kufuatia utovu wa usalama unaoshuhudiwa katika maeneo hayo. Kiongozi wa Iran atishia kumshambulia aliyekua rais wa Marekani Donald Picha kwa hisani - Kiongozi Mkuu wa kidini nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameweka ujumbe mtandaoni akitoa wito Donald Trump ashambuliwe kama hatua ya kulipiza kisasi ya mauaji ya komanda wa juu wa jeshi, Jenerali wa kikosi maalum cha Iran Qasem Suleimani. Waziri Magoha, apuuzia mbali taarifa za kuongezeka kwa maambukizi ya Corona shuleni Picha kwa hisani - Waziri wa Elimu nchini Profesa George Magoha amepuuzilia mbalimbali taarifa iliotolewa na taasisi ya utafiti wa kimatibabu nchini KEMRI kwamba maambukizi ya virusi vya Corona shuleni yataongezeka ifikapo mwezi Machi. Wizara ya afya yazindua mashini maalum za kidijitali Picha kwa hisani - Wizara ya afya nchini imezindua mashini maalum zitakazotumia teknolojia ya kisasa kukabiliana na majanga ya kiafya. Kalonzo ajisalimisha mbele ya maafisa wa DCI Picha kwa hisani - Kinara wa chama cha WIPER Stephen Kalonzo Musyoka amefika mbele ya maafisa wa idara ya upelelezi DCI kuwasilisha stakabadhi zinazoonyesha uhalali wa umiliki wa ardhi yake ilioko katika eneo la Yatta. Serikali haitamlazimisha mtu kupokea chanjo ya kuzuia virusi vya Corona Picha kwa hisari - Waziri wa Afya nchini Mutahi Kagwe, ameweka wazi kuwa majaribio ya chanjo ya kuzuia virusi vya Corona humu nchini itafanywa kwa hiari na hakuna mtu yeyote atakayelazimishwa kupokea chanjo hiyo. Wahudumu wa afya wanaogoma Mombasa kuanzisha kampeni za kuipinga BBI Picha kwa hisani - Mgomo wa wauguzi na maafisa wa kliniki katika kaunti ya Mombasa umechukua mkondo tofauti baada ya wahudumu hao wa afya kuapa kuanzisha kampeni za kuipinga BBI Wakiongozwa na Katibu wa Muungano wa maafisa wa kliniki katika kaunti hiyo Frankline Makanga,wahudumu hao wamesema watawarai wakaazi wa kaunti ya Mombasa kuupinga mchakato wa BBI hadi pale matakwa yao yatakapotimizwa. Aliyekuwa askofu mkuu wa Kianglikana avuliwa cheo kwa tuhuma za uzinzi Picha kwa hisani - Kanisa la Kianglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji wa majukumu ya uaskofu pamoja na kuzuiwa kuwakilisha kanisa hilo kwa madai ya uzinzi. Trump aondoka Ikulu ya White house Picha kwa hisani - Rais wa Marekani anayeondoka Donald Trump, amewahutubia wamarekani katika eneo la Joint Base Andrews mjini Maryland kabla ya kuabiri ndege ya Air Force One hadi jiji la Florida kwenye makaazi yake. Asilimia 99 ya wanafunzi wamerejea shule kufikia sasa Picha kwa hisani - Waziri wa elimu nchini Prof George Magoha amesema tangu shule za humu nchini kufunguliwa mapema mwezi huu,asilimia 99 ya wanafunzi wamerejea shule kufikia sasa. Watu 22 wazuiliwa na polisi kufuatia mauaji ya watu wawili Picha kwa hisani - Jumla ya watu 22 wanaoshukiwa kuhusika na mauaji ya watu wawili katika eneo la Madogo Kaunti ya Tana river wametiwa nguvuni. Barua za kuachishwa kazi tulizokabidhiwa na muajiri wetu sio halali Picha kwa hisani - Muungano wa wauguzi tawi la Taita Taveta umepuzilia mbali uamuzi wa serikali ya Kaunti hiyo wa kuwaachisha kazi kwa kushiriki mgomo. Visa vingi vya dhulma za kingono vinavyoripotiwa ni uzushi Picha kwa hisani - Idara ya usalama katika kaunti ya Kwale imesema asilimia kubwa ya visa vya dhulma za kingono vinavyoripotiwa kwa idara hio na wakaazi ni uzushi. Kalonzo, ajitokeza na kupinga madai ya unyakuzi wa ardhi ya Yatta Picha kwa hisani Kinara wa Chama cha WIPER Kalonzo Musyoka, amejitokeza na kupinga vikali kuhusika na sakata ya unyakuzi wa ardhi ya Yatta, akisema madai anayoelekezewa ni njama ya kuharibu sifa. Baraza la KEMNAC lazindua kampeni ya BBI kote nchini Picha kwa hisani - Baraza la Mashauri ya Kiislamu nchini KEMNAC limezindua kampeni ya kuipigia debe mchakato wa BBI kote nchini. Waziri wa michezo nchini awashauri wakaazi wa Lamu kushirikiana na serikali kukuza Utalii wa Lamu Picha kwa hisani - Waziri wa Michezo, utamaduni na turathi za kitaifa Bi Amina Mohammed amesema Serikali itafanya kila juhudi ili kulinda makavazi ya kitaifa yaliyoko kaunti ya Lamu. Uchumi wa kaunti ya Kilifi umeporomoka dhidi ya sekta ya utalii Picha kwa hisani - Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa amesema uchumi wa kaunti ya Kilifi umeathirika pakubwa kufuatia kuporomoka kwa sekta ya utalii, mjini Malindi. Ajali katika kivuko cha feri cha Likoni hazichangiwi na utelezi,lakanusha shirika la huduma za feri https://radiokaya.co.ke/wp-content/uploads/2021/01/WhatsApp-Video-2021-01-13-at-6.32.29-PM.mp4 Picha kwa hisani - Dereva wa trela lililotumbukia katika kivuko cha feri cha Likoni amelilaumu Shirika la huduma za feri nchini kwa kusababisha ajali hiyo. Magwiji watamba mitandaoni baada ya kuachia bonge la Collabo https://www.youtube.com/watch?v=k3N40SvH5V8 Picha kwa hisani - Baada ya kuzindua ngoma yao mpya Otile brown na Ali kiba kwa jina in love, wengi sasa wanasema hivyo vilikuwa Vita vya vocals Kati ya mkali wa RnBs nchini Kenya otile na mfalme wa bongo fleva king kiba, huku wengi wakitoa maoni tofauti tofauti. WIPER yaidhinisha mgombea wake kwenye uchaguzi mdogo wa useneta wa machakos Picha kwa hisani - Chama cha Wiper kimemteua Agnes Kavindu Muthama kuwa mgombea wake wa kiti cha useneta wa Machakos kwenye uchaguzi mdogo utakaoandaliwa mapema mwezi machi mwaka huu. Baraza la magavana latishia kuwatimua kazini wahudumu wa afya wanaogoma Picha kwa hisani - Baraza la magavana limewataka wahudumu wa afya wanaoshiriki mgomo ikiwemo wauguzi na matabibu kurejea kazini na kwamba watakaokaidi agizo hilo watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kuachishwa kazi. Mwanamume wa miaka 47 auliwa Mwatate Idara ya usalama kaunti ya Kwale imethibitisha kuuawa kwa mwanamume wa umri wa miaka 47 kutoka kijiji cha Mwatate eneo bunge la Kinango. Viongozi wa ANC wamtaka naibu wa Rais William Ruto Kujiuzulu Picha kwa hisani - Viongozi wa chama cha ANC kimejitokeza na kumtaka naibu wa rais William Ruto kujiuzulu wadhfa wake. Seneta Kang’ata, ashikilia msimamo wake kuwa BBI haina umaarufu Mlima Kenya Picha kwa hisani - Kiranja wa walio wengi katika bunge la Seneti Irungu Kang’ata amejitokeza na kutetea kauli yake aliyoitoa kuwa mchakato wa kuifanyia marekebisho Katiba kupitia BBI hauna umaarufu katika eneo la Mlima Kenya. Asilimia 93 ya walioambukizwa virusi vya Corona leo wanaugua ugonjwa wa pumu Picha kwa hisani - Wizara ya Afya nchini imedai kuwa idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini yameongezeka hadi watu 98,334 kote nchini, hii ikiwa ni baada ya watu 63 kupata maambukizi hayo kutokana na sampuli 2,134 kufanyiwa uchunguzi. Shirika la msalaba mwekundu kutoa ushauri nasaha Kufuatia msongo wa mawazo miongoni mwa wakaazi wa kaunti ya Mombasa uliochangiwa na janga la Corona, Shirika la Msalaba mwekundu limewekeza katika kutoa ushauri nasaha kwa waathiriwa. Wakati umefika kwa makabila mengine kushikilia nafasi ya urais asema rais Kenyatta Picha kwa hisani - Rais Uhuru Kenyatta, amedokeza kuwa wakati umefika sasa kwa jamii zengine pia kushikilia nafasi ya urais wa taifa hili ifikapo uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2022. Kamishna Ngumo, apewa uhamisho hadi kaunti ya Meru Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani Dkt Karanja Kibicho, ametangaza mabadiliko kadhaa yaliyofanywa na Wizara hiyo katika ngazi ya makamishna wa kaunti. Wauguzi wanasema watasitisha mgomo punde mkataba wa makubaliano utasainiwa Picha kwa hisani - Viongozi wa vyama vyote vya madaktari nchini wamefanya kikao cha faragha na madaktari katika kaunti ya Mombasa,kujadiliana kuhusu mgomo wa madaktari unaoendelea katika kaunti hio sawa na changamoto za madaktari wote nchini. Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu waikosoa serikali ya Mombasa Picha kwa hisani - Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu kanda ya Pwani wamejitokeza na kuitaka Serikali ya kaunti ya Mombasa kufutilia mbali azma yake ya kuwaachisha kazi madaktari katika kaunti hiyo. Serikali ya Mombasa imewafuta kazi madaktari 86 Picha kwa hisani - Serikali ya kaunti ya Mombasa imewafuta kazi madaktari 86 na wataalam wengine wa kiafya akiwemo Katibu mkuu wa Chama cha Madaktari nchini KMPDU Dkt Chibanzi Mwachonda kwa kushiriki mgomo. Huenda baraza la magavana linauhasama na wizara ya afya asema George Gibore Picha kwa hisani - Katibu mkuu wa muungano wa matabibu nchini George Gibore amesema huenda baraza la magavana linauhasama na wizara ya afya nchini ndiposa likajitenga na mkataba wa makubaliano uliotiwa saini wa kuwezesha matabibu kusitisha mgomo. Maafisa wa maabara katika vituo vya afya vya umma wameanza mgomo Picha kwa hisani - Maafisa wa maabara wanaohudumu katika vituo vya afya vya umma nchini wameanza rasmi mgomo wao hii leo. Serikali imeboresha miundo msingi ya kudhibiti maambukizi ya Corona Picka kwa hisani - Huku shughuli za masomo zikiingia siku ya pili hii leo wanaharakati wa masuala ya kijamii katika kaunti ya Kwale wamesema serikali imejizatiti kuboresha miundo msingi ya shule ili kuthibiti maambukizi ya corona.
Edwin Sifuna amesema mchakato wa kuunda chama cha kisiasa cha Pwani hautafaulu Picha kwa hisani - Katibu mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna amesema mchakato unaoendelezwa na baadhi ya wanasiasa wa pwani wa kuunda chama kipya cha kisiasa cha pwani hautafaulu. Hakuna aliyelazimishwa kutumia daraja la Liwatoni,lajitetea shirika la huduma za feri Picha kwa hisani - Shirika la huduma za feri limeweka wazi kwamba halijamlazimisha mkaazi yeyote kutumia daraja la Liwatoni,japo hali hiyo hutokea wakati kivuko cha feri cha Likoni kinapokumbwa na hali tata. Zoezi la kusajili makurutu katika shirika la KWS laendelezwa hii leo Zoezi la kusajili makurutu wa shirika la huduma kwa wanyamapori nchini KWS linaendelea kwa sasa katika kaunti mbali mbali za pwani na kwengineko nchini. Kenya itatekeleza mipango yote ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga Picha kwa hisani - Rais Uhuru Kenyatta amethibitisha kujitolea kwa Kenya kutekeleza mipango ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga ulimwenguni. Kibicho,aandikisha taaarifa kwa DCI kufuatia madai ya kupanga vurugu mwaka 2017 Picha kwa hisani - Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani Dkt Karanja Kibicho ameandikisha taarifa kwa idara ya upelekezi wa jinai nchini DCI kuhusu madai yaliyoibuliwa na aliyekuuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko ya kupanga vurugu wakati wa uchaguzi mkuu 2017. Rais wa Ethiopia afanya ziara ya siku moja nchini Tanzania Picha kwa hisani - Rais wa Ethiopia,Sahle-Work Zewde ametembelea Tanzania, katika ziara ya siku moja. KUPPET na KNUT kuwaondoa waalimu wanaohudumu katika eneo lenye mzozo huko Kapedo Picha cha hisani - Vyama vya waalimu nchini KNUT na KUPPET vimetitishia kuwaondoa waalimu wanaohudumu katika maeneo ya Kapedo,kaunti ya turkana na Baringo kufuatia utovu wa usalama unaoshuhudiwa katika maeneo hayo. Kiongozi wa Iran atishia kumshambulia aliyekua rais wa Marekani Donald Picha kwa hisani - Kiongozi Mkuu wa kidini nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameweka ujumbe mtandaoni akitoa wito Donald Trump ashambuliwe kama hatua ya kulipiza kisasi ya mauaji ya komanda wa juu wa jeshi, Jenerali wa kikosi maalum cha Iran Qasem Suleimani. Waziri Magoha, apuuzia mbali taarifa za kuongezeka kwa maambukizi ya Corona shuleni Picha kwa hisani - Waziri wa Elimu nchini Profesa George Magoha amepuuzilia mbalimbali taarifa iliotolewa na taasisi ya utafiti wa kimatibabu nchini KEMRI kwamba maambukizi ya virusi vya Corona shuleni yataongezeka ifikapo mwezi Machi. Wizara ya afya yazindua mashini maalum za kidijitali Picha kwa hisani - Wizara ya afya nchini imezindua mashini maalum zitakazotumia teknolojia ya kisasa kukabiliana na majanga ya kiafya. Kalonzo ajisalimisha mbele ya maafisa wa DCI Picha kwa hisani - Kinara wa chama cha WIPER Stephen Kalonzo Musyoka amefika mbele ya maafisa wa idara ya upelelezi DCI kuwasilisha stakabadhi zinazoonyesha uhalali wa umiliki wa ardhi yake ilioko katika eneo la Yatta. Serikali haitamlazimisha mtu kupokea chanjo ya kuzuia virusi vya Corona Picha kwa hisari - Waziri wa Afya nchini Mutahi Kagwe, ameweka wazi kuwa majaribio ya chanjo ya kuzuia virusi vya Corona humu nchini itafanywa kwa hiari na hakuna mtu yeyote atakayelazimishwa kupokea chanjo hiyo. Wahudumu wa afya wanaogoma Mombasa kuanzisha kampeni za kuipinga BBI Picha kwa hisani - Mgomo wa wauguzi na maafisa wa kliniki katika kaunti ya Mombasa umechukua mkondo tofauti baada ya wahudumu hao wa afya kuapa kuanzisha kampeni za kuipinga BBI Wakiongozwa na Katibu wa Muungano wa maafisa wa kliniki katika kaunti hiyo Frankline Makanga,wahudumu hao wamesema watawarai wakaazi wa kaunti ya Mombasa kuupinga mchakato wa BBI hadi pale matakwa yao yatakapotimizwa. Aliyekuwa askofu mkuu wa Kianglikana avuliwa cheo kwa tuhuma za uzinzi Picha kwa hisani - Kanisa la Kianglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji wa majukumu ya uaskofu pamoja na kuzuiwa kuwakilisha kanisa hilo kwa madai ya uzinzi. Trump aondoka Ikulu ya White house Picha kwa hisani - Rais wa Marekani anayeondoka Donald Trump, amewahutubia wamarekani katika eneo la Joint Base Andrews mjini Maryland kabla ya kuabiri ndege ya Air Force One hadi jiji la Florida kwenye makaazi yake. Asilimia 99 ya wanafunzi wamerejea shule kufikia sasa Picha kwa hisani - Waziri wa elimu nchini Prof George Magoha amesema tangu shule za humu nchini kufunguliwa mapema mwezi huu,asilimia 99 ya wanafunzi wamerejea shule kufikia sasa. Watu 22 wazuiliwa na polisi kufuatia mauaji ya watu wawili Picha kwa hisani - Jumla ya watu 22 wanaoshukiwa kuhusika na mauaji ya watu wawili katika eneo la Madogo Kaunti ya Tana river wametiwa nguvuni. Barua za kuachishwa kazi tulizokabidhiwa na muajiri wetu sio halali Picha kwa hisani - Muungano wa wauguzi tawi la Taita Taveta umepuzilia mbali uamuzi wa serikali ya Kaunti hiyo wa kuwaachisha kazi kwa kushiriki mgomo. Visa vingi vya dhulma za kingono vinavyoripotiwa ni uzushi Picha kwa hisani - Idara ya usalama katika kaunti ya Kwale imesema asilimia kubwa ya visa vya dhulma za kingono vinavyoripotiwa kwa idara hio na wakaazi ni uzushi. Kalonzo, ajitokeza na kupinga madai ya unyakuzi wa ardhi ya Yatta Picha kwa hisani Kinara wa Chama cha WIPER Kalonzo Musyoka, amejitokeza na kupinga vikali kuhusika na sakata ya unyakuzi wa ardhi ya Yatta, akisema madai anayoelekezewa ni njama ya kuharibu sifa. Baraza la KEMNAC lazindua kampeni ya BBI kote nchini Picha kwa hisani - Baraza la Mashauri ya Kiislamu nchini KEMNAC limezindua kampeni ya kuipigia debe mchakato wa BBI kote nchini. Waziri wa michezo nchini awashauri wakaazi wa Lamu kushirikiana na serikali kukuza Utalii wa Lamu Picha kwa hisani - Waziri wa Michezo, utamaduni na turathi za kitaifa Bi Amina Mohammed amesema Serikali itafanya kila juhudi ili kulinda makavazi ya kitaifa yaliyoko kaunti ya Lamu. Uchumi wa kaunti ya Kilifi umeporomoka dhidi ya sekta ya utalii Picha kwa hisani - Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa amesema uchumi wa kaunti ya Kilifi umeathirika pakubwa kufuatia kuporomoka kwa sekta ya utalii, mjini Malindi. Ajali katika kivuko cha feri cha Likoni hazichangiwi na utelezi,lakanusha shirika la huduma za feri https://radiokaya.co.ke/wp-content/uploads/2021/01/WhatsApp-Video-2021-01-13-at-6.32.29-PM.mp4 Picha kwa hisani - Dereva wa trela lililotumbukia katika kivuko cha feri cha Likoni amelilaumu Shirika la huduma za feri nchini kwa kusababisha ajali hiyo. Magwiji watamba mitandaoni baada ya kuachia bonge la Collabo https://www.youtube.com/watch?v=k3N40SvH5V8 Picha kwa hisani - Baada ya kuzindua ngoma yao mpya Otile brown na Ali kiba kwa jina in love, wengi sasa wanasema hivyo vilikuwa Vita vya vocals Kati ya mkali wa RnBs nchini Kenya otile na mfalme wa bongo fleva king kiba, huku wengi wakitoa maoni tofauti tofauti. WIPER yaidhinisha mgombea wake kwenye uchaguzi mdogo wa useneta wa machakos Picha kwa hisani - Chama cha Wiper kimemteua Agnes Kavindu Muthama kuwa mgombea wake wa kiti cha useneta wa Machakos kwenye uchaguzi mdogo utakaoandaliwa mapema mwezi machi mwaka huu. Baraza la magavana latishia kuwatimua kazini wahudumu wa afya wanaogoma Picha kwa hisani - Baraza la magavana limewataka wahudumu wa afya wanaoshiriki mgomo ikiwemo wauguzi na matabibu kurejea kazini na kwamba watakaokaidi agizo hilo watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kuachishwa kazi. Mwanamume wa miaka 47 auliwa Mwatate Idara ya usalama kaunti ya Kwale imethibitisha kuuawa kwa mwanamume wa umri wa miaka 47 kutoka kijiji cha Mwatate eneo bunge la Kinango. Viongozi wa ANC wamtaka naibu wa Rais William Ruto Kujiuzulu Picha kwa hisani - Viongozi wa chama cha ANC kimejitokeza na kumtaka naibu wa rais William Ruto kujiuzulu wadhfa wake. Seneta Kang’ata, ashikilia msimamo wake kuwa BBI haina umaarufu Mlima Kenya Picha kwa hisani - Kiranja wa walio wengi katika bunge la Seneti Irungu Kang’ata amejitokeza na kutetea kauli yake aliyoitoa kuwa mchakato wa kuifanyia marekebisho Katiba kupitia BBI hauna umaarufu katika eneo la Mlima Kenya. Asilimia 93 ya walioambukizwa virusi vya Corona leo wanaugua ugonjwa wa pumu Picha kwa hisani - Wizara ya Afya nchini imedai kuwa idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini yameongezeka hadi watu 98,334 kote nchini, hii ikiwa ni baada ya watu 63 kupata maambukizi hayo kutokana na sampuli 2,134 kufanyiwa uchunguzi. Shirika la msalaba mwekundu kutoa ushauri nasaha Kufuatia msongo wa mawazo miongoni mwa wakaazi wa kaunti ya Mombasa uliochangiwa na janga la Corona, Shirika la Msalaba mwekundu limewekeza katika kutoa ushauri nasaha kwa waathiriwa. Wakati umefika kwa makabila mengine kushikilia nafasi ya urais asema rais Kenyatta Picha kwa hisani - Rais Uhuru Kenyatta, amedokeza kuwa wakati umefika sasa kwa jamii zengine pia kushikilia nafasi ya urais wa taifa hili ifikapo uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2022. Kamishna Ngumo, apewa uhamisho hadi kaunti ya Meru Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani Dkt Karanja Kibicho, ametangaza mabadiliko kadhaa yaliyofanywa na Wizara hiyo katika ngazi ya makamishna wa kaunti. Wauguzi wanasema watasitisha mgomo punde mkataba wa makubaliano utasainiwa Picha kwa hisani - Viongozi wa vyama vyote vya madaktari nchini wamefanya kikao cha faragha na madaktari katika kaunti ya Mombasa,kujadiliana kuhusu mgomo wa madaktari unaoendelea katika kaunti hio sawa na changamoto za madaktari wote nchini. Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu waikosoa serikali ya Mombasa Picha kwa hisani - Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu kanda ya Pwani wamejitokeza na kuitaka Serikali ya kaunti ya Mombasa kufutilia mbali azma yake ya kuwaachisha kazi madaktari katika kaunti hiyo. Serikali ya Mombasa imewafuta kazi madaktari 86 Picha kwa hisani - Serikali ya kaunti ya Mombasa imewafuta kazi madaktari 86 na wataalam wengine wa kiafya akiwemo Katibu mkuu wa Chama cha Madaktari nchini KMPDU Dkt Chibanzi Mwachonda kwa kushiriki mgomo. Huenda baraza la magavana linauhasama na wizara ya afya asema George Gibore Picha kwa hisani - Katibu mkuu wa muungano wa matabibu nchini George Gibore amesema huenda baraza la magavana linauhasama na wizara ya afya nchini ndiposa likajitenga na mkataba wa makubaliano uliotiwa saini wa kuwezesha matabibu kusitisha mgomo. Maafisa wa maabara katika vituo vya afya vya umma wameanza mgomo Picha kwa hisani - Maafisa wa maabara wanaohudumu katika vituo vya afya vya umma nchini wameanza rasmi mgomo wao hii leo. Serikali imeboresha miundo msingi ya kudhibiti maambukizi ya Corona Picka kwa hisani - Huku shughuli za masomo zikiingia siku ya pili hii leo wanaharakati wa masuala ya kijamii katika kaunti ya Kwale wamesema serikali imejizatiti kuboresha miundo msingi ya shule ili kuthibiti maambukizi ya corona.