News Catch the latest local news and regional news on your favorite Radio Station Rais Ruto afungua rasmi Kongamano la viongozi wa mashtaka, Mombasa Story by: Mwahoka Mtsumi Rais William Ruto amefungua rasmi Kongamano la viongozi wa mashtaka ya umma linalolenga kuboresha utendakazi bora na ushirikiano wa Afrika ili kufanikisha usawa na haki Mahakamani. Badi: Fedha za basari kusimamia wanafunzi wenye mahitaji zaidi Story by: Gabriel Mwaganjoni Kutokana na lalama za ubaguzi katika utoaji wa ufadhili wa masomo katika eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa, Mbunge wa eneo hilo Badi Twalib ameliboresha zoezi hilo na kulifanya katika sehemu zilizo wazi kwa wazazi kufika na kukaguliwa stakabadhi za watoto wao. Wazee wa Kaya wanaitaka serekali kuwatambua Story by: Mercy Tumaini Chama cha Wazee wa Kaya za Mijikenda kanda ya Pwani kimewataka viongozi waliochaguliwa kuwaheshimu wazee wa Kaya na wala sio kuwatumia wazee hao kama mbinu ya kujinufaisha binafsi. Wanaharakati wa kijamii wanataka haki za kibinadamu kuzingatiwa Story by: Mwahoka Mtsumi Mkurugenzi mkuu wa Shirika la kutetea haki za kibinadamu la Haki Africa Hussein Khalid amesema japo taifa linashuhudia utovu wa usalama unaochangiwa na wahalifu ni lazima sheria izingatiwe. Margaret: Taasisi za serikali zinadaiwa shilingi bilioni 80.3 kufikia Disemba 31 mwaka 2022 Story by: Mwahoka Mtsumi Serikali imeweka wazi kwamba Wizara mbalimbali nchini, idara za kiserikali na taasisi nyingenezo zinadaiwa zaidi ya shilingi bilioni 80 kufikia Disemba 31 mwaka wa 2022. Omondi: Zaidi ya wakaazi elfu 80 kaunti ya Tana river wanahitaji msaada wa chakula Story by: Our Correspondents Afisa wa Mamlaka ya kukabiliana na ukame kaunti ya Tana River Kennedy Omondi amesema zaidi ya wakaazi elfu 80 katika kaunti hiyo wanahitaji msaada wa dharura wa chakula. Flora: Juhudi zaidi zinahitajika kuboresha elimu Kilifi Story by: Charo Banda Serikali ya kaunti ya Kilifi imeweka wazi kuwa bado elimu katika kaunti hiyo haijafikia viwango hitajika. Mahakama ya Mombasa yamzuiliwa mshukiwa wa mauaji Story by: Taalia Kwekwe Mahakama ya Mombasa imeipa muda zaidi idara ya polisi nchini kukamilisha uchunguzi dhidi ya kesi ya mauaji inayomuandama mwanamume mmoja wa umri wa miaka 20. Shughuli za masomo zimetatizwa katika shule ya msingi ya Nyali Story by: Gabriel Mwaganjoni- Shughuli za masomo zimekatizwa katika shule ya msingi ya Nyali eneo bunge la Nyali kaunti ya Mombasa baada ya wazazi wa shule hiyo kuandamana wakipinga kuajiriwa kwa Naibu mwalimu mkuu mpya shuleni humo. Balozi Mwakwere atangaza kujiuzulu kama Mwenyekiti wa WIPER Story by: Our Correspondents Aliyekuwa Balozi wa Kenya nchini Tanzania Chirau Ali Mwakwere ametangaza kujiuzulu wadhfa wake kama Mwenyekiti wa kitaifa wa chama cha WIPER na mwanachama wa chama hicho. Machogu: Wanafunzi 1,146 wamepata alama ya A kwenye mtihani wa KCSE Story by: Rasi Mangale Waziri wa Elimu nchini Ezekiel Machogu amesema wanafunzi wa mtihani wa kitaifa wa KCSE mwaka wa 2022 wamefanya vyema ikilinganishwa na wale wa mwaka 2021. Shughuli za uchukuzi zatatizwa katika barabara ya Nairobi-Mombasa Story by: Gabriel Mwaganjoni Shughuli za uchukuzi zimetatizwa katika barabara kuu ya kutoka Mombasa kuelekea Nairobi baada ya wakaazi wa eneo bunge la Mwatate kaunti ya Taita taveta kuandamana na kuifunga barabara hiyo wakilalamikia kuhangaishwa na wanyamapori. Mung'aro afika Mahakamani kuhusu kesi ya kupinga ushindi wake Story by: Charo Banda Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro amefika mbele ya Mahakama kuu ya Malindi kutoa ushahidi wake kwenye kesi ya kupinga ushindi wake kama gavana iliyowasilishwa Mahakamani. Wazee wa jamii ya wamijikenda washinikiza ushirikiano kuhakikisha wanapigania raslimali za Pwani Story by our correspondent Baadhi ya wazee wa jamii ya wamijikenda kanda ya Pwani wamejitokeza na kushinikiza ushirikiano wa jamii hiyo ili kuhakikisha wanapigania raslimali za Pwani ikiwemo misitu ya Kaya, ardhi na ajira. Mwanamume mmoja ahukumiwa kifo kwa hatia ya wizi wa kimabavu Picha Kwa Hisani - The Standard Story by: Taalia Kwekwe Mahakama ya mjini Kwale imemuhukumu kifo mwanamume mmoja kwa Jina Joseph Olouch Odhiambo baada ya kupatikana na hatia ya kutekeleza wizi wa mabavu. Wavuvi watatu raia wa Tanzania wameokolewa baada ya kuzama maji Story by Gabriel Mwaganjoni- Wavuvi watatu raia wa Tanzania wameokolewa katika maji makuu ya bahari hindi baada ya boti lao kusombwa na mawimbi makali. Nassir, ahidi kuwajenga uwezo vijana kujikimu kimaisha Story by Gabriel Mwaganjoni- Mwakilishi wa Wadi ya Kadzandani kaunti ya Mombasa Fatuma Swaleh kwa jina maarufu Fatuma Kushe amemsihi Gavana wa kaunti hiyo Abdulswamad Sharif Nassir kuwapatia vijana wanaoshiriki mradi wa kuusafisha mji wa ‘Mombasa ni Yangu’ ajira za kudumu. Mahakama ya Malindi yamzulia mshukiwa wa ulawiti korokoroni Story by Jeff Ngombo- Mwanamume wa umri wa miaka 28 amefikishwa katika Mahakama ya Malindi, kwa tuhuma za kuwalawiti watoto wawili wa kiume katika eneo la Kisumu ndogo mjini Malindi. Mvurya, azindua mradi wa dola milioni 250 kuimarisha sekta ya Kilimo Story by Bakari Ali- Wizara ya Kilimo nchini imezindua mradi wa dola milioni 250 wa kuimarisha sekta ya Kilimo humu nchini, chini ya ufadhili wa benki ya dunia. Mahakama ya Kwale yampata na hatia mwanamume mmoja Story by Taalia & Chiro- Mwanamume mmoja amefikishwa katika Mahakama ya Kwale kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi mwanamke mmoja katika eneo la Kona ya Musa kaunti ya Kwale. Machogu: Wanafunzi wote waliomaliza darasa la nane watajiunga na shule za upili Story by Janet Shume- Waziri wa Elimu nchini Ezekiel Machogu ametangaza rasmi uteuzi wa shule za upili kwa wanafunzi waliokamilisha mitihani ya KCPE mwaka 2022, kwamba watajiunga na shule za upili kuanzia tarehe 6 haid 15 mwezi Februari. Gavana Nassir, ateuwa baraza lake la mawaziri Story by Bakari Ali- Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Sharrif Nassir ametuea kuteua rasmi baraza lake la mawaziri. Afuani kwa Mwangale baada ya kupata matibabu Story by Gabriel Mwaganjoni- Mwanafunzi mmoja wa shule ya msingi ya Bidiinimole kaunti ya Kwale amapeta afueni baada kupata ufadhili wa matibabu katika hospitali kuu ya ukanda wa Pwani, baada ya jicho lake moja kufura na kuharibika kabisa. Wafula: Wanaoendeleza uchimbaji madini Kwale sharti wazingatie sheria Story by Taalia Kwekwe- Mamlaka ya mazingira nchini NEMA imetoa makataa ya siku 14 kwa wale wanaoendeleza shughuli za uchimbaji mawe na mchanga katika kijiji cha Kilole eneo la Kinondo gatuzi dogo la Msambweni kaunti ya Kwale kuzingatia sheria zilizowekwa na serikali. Ruto: Ni wajibu wa kila mkenya kuwajibikia majukumu yake ya kikazi Story by Our Correspondents- Rais William Ruto ameahidi kuhakikisha kila mmoja anawajibikia majukumu yake ya kikazi katika kila sehemu anapofanya kazi ili kuhakikisha taifa hili linasonga mbele kimaendeleo na kuimarika kiuchumi. Muigizaji maarufu wa vihoja Mahakamani ameaga dunia. Story by Our Correspondents- Muigizaji maarufu na mkongwe humu nchini Gibson Gathu Mbugua ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 56. Wanafunzi wa KCPE mwaka 2022 wafanya vyema Story by Hussein Mdune- Baadhi ya shule kutoka kaunti ya Kwale zimefanya vyema katika mtihani wa kitaifa wa darasa la nane KCPE huku shule ya msingi ya kibinafsi ya Mumtaz mwanafunzi wa kwanza akiwa ni Changoma Idd aliyepata alama 404. Machogu: Wanafunzi 252 wa KCPE wamepata alama ya sufuri katika somo waliloshiriki udanganyifu Story by Our Corresponents- Waziri wa elimu nchini Ezekiel Machogu amesema wanafunzi 252 wa mtihani wa KCPE kutoka vituo tisa vya kufanyia mitihani walinaswa wakishiriki udangayifu na kupewa alama sufuri katika somo hilo. Joto: Serikali imechelewesha fedha za ujenzi wa barabara Kwale Story Hussein Mdune- Waziri wa Barabara na kazi za umma kaunti ya Kwale Ali Mwachiribi Joto amesema kuchelewa kwa mgao wa fedha za mwaka 2020/2021 kutoka kwa Bodi ya kitaifa ya maswala ya Barabara ndicho chanzo cha miradi mingi ya barabara kutoendelea kaunti ya Kwale. Mahakama ya Mombasa yafutilia mbali kesi ya mauaji dhidi ya Waziri Aisha Jumwa Story by Our Correspondents- Mahakama kuu mjini Mombasa imefutilia mbali kesi ya mauaji iliyokuwa ikimuandama Waziri wa Jinsia na utumishi wa umma Aisha Jumwa. Bunge la Seneti kujadili hoja ya kubanduliwa kwa gavana Kawira Story by Our Correspondents- Bunge la Seneti alasiri ya leo litakuwa na kikao maalum cha kujadili hoja ya kubanduliwa mamlakani kwa Gavana wa Meru Kawira Mwangaza iliyowasilishwa mbele ya bunge hilo na wawakilishi wadi wa kaunti ya Meru wiki iliyopita. Afisa wa DCI kaunti ya Kilifi amefikishwa Mahakamani kwa kosa la unajisi Story by Ephie Harusi- Afisa wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai nchini DCI, George Mitikowea Nangoye amefikishwa katika Mahakama ya Kilifi kwa madai ya kumnajisi mtoto wa umri wa miaka 16. Onyo kwa wanaotupa taka za kielektrokini na plastiki kiholela Story by Janet Shume- Wadau wa kimazingira katika kaunti ya Kwale wamesema utupaji taka ovyo ikiwemo vifaa vya kielektroniki na chupa za plastiki umechangia uharibifu wa mazingira pamoja na kuathiri afya ya binadamu. Serikali yahimizwa kushirikiana na wadau wa elimu kuboresha sekta ya elimu Pwani Story by Hussein Mdune- Wadau wa maswala ya elimu kaunti ya Kwale wamesema sekta ya elimu nchini itaimarika zaidi iwapo Wizara ya elimu nchini itashirikiana na wadau hao hadi mashinani. Githuku: Ushirikiano wa viongozi utatatua mzozo ya ardhi Story by Our Correspondents- Seneta wa kaunti ya Lamu Joseph Githuku amesema iwapo viongozi wa kaunti ya Lamu watashirikiana vyema basi tatizo la mzozo wa ardhi katika kaunti hiyo litapata suluhu. Rais Ruto, awashauri majaji 20 walioapishwa kuwajibikia majukumu yao Story by Our Correspondents- Majaji 20 waliopendekezwa na Tume ya huduma za Mahakama nchini JSC kuhudumu katika Mahakama kuu wameapishwa rasmi kuanza majukumu yao. Mung'aro: Kaunti ya Kilifi kufufua kilimo cha korosho Story by Ngombo Jeff- Serikali ya kaunti ya Kilifi inalenga kuandaa kongamano na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo ili kujadili hatua mpya za kufufua kilimo cha korosho. Keinan: Ujenzi wa hoteli ya shilingi milioni 150 utaboresha utalii Kilifi Story by Hussein Mdune- Kama njia moja wapo ya kupiga jeki sekta ya utalii katika kaunti Kilifi na ukanda wa Pwani kwa ujumla, Shirika la maendeleo Pwani CDA limezindua rasmi hoteli na nyumba za wageni katika maeneo ya Mnarani kaunti ya Kilifi. Wachuuzi wa Samaki eneo la Kipini walalamikia dhulma za kijinsia Story by GAbriel Mwaganjoni- Wanawake wanaojishughulisha na biashara ya samaki katika eneo la Pwani wamekuwa wakipitia changamoto nyingi ikiwemo kudhulumiwa kingono na wavuvi. Salama: Mradi wa soka kwa wanawake ni mwafaka Story by Taalia Kwekwe- Afisa miradi katika shirika la kijamii la The Hijabi Mentorship Salama Majaliwa amesema wameanzisha miradi mbali mbali ikiwemo ule wa Nikumbuke Soccer kama njia mojawapo ya kuwezesha wanawake mashinani.
Rais Ruto afungua rasmi Kongamano la viongozi wa mashtaka, Mombasa Story by: Mwahoka Mtsumi Rais William Ruto amefungua rasmi Kongamano la viongozi wa mashtaka ya umma linalolenga kuboresha utendakazi bora na ushirikiano wa Afrika ili kufanikisha usawa na haki Mahakamani. Badi: Fedha za basari kusimamia wanafunzi wenye mahitaji zaidi Story by: Gabriel Mwaganjoni Kutokana na lalama za ubaguzi katika utoaji wa ufadhili wa masomo katika eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa, Mbunge wa eneo hilo Badi Twalib ameliboresha zoezi hilo na kulifanya katika sehemu zilizo wazi kwa wazazi kufika na kukaguliwa stakabadhi za watoto wao. Wazee wa Kaya wanaitaka serekali kuwatambua Story by: Mercy Tumaini Chama cha Wazee wa Kaya za Mijikenda kanda ya Pwani kimewataka viongozi waliochaguliwa kuwaheshimu wazee wa Kaya na wala sio kuwatumia wazee hao kama mbinu ya kujinufaisha binafsi. Wanaharakati wa kijamii wanataka haki za kibinadamu kuzingatiwa Story by: Mwahoka Mtsumi Mkurugenzi mkuu wa Shirika la kutetea haki za kibinadamu la Haki Africa Hussein Khalid amesema japo taifa linashuhudia utovu wa usalama unaochangiwa na wahalifu ni lazima sheria izingatiwe. Margaret: Taasisi za serikali zinadaiwa shilingi bilioni 80.3 kufikia Disemba 31 mwaka 2022 Story by: Mwahoka Mtsumi Serikali imeweka wazi kwamba Wizara mbalimbali nchini, idara za kiserikali na taasisi nyingenezo zinadaiwa zaidi ya shilingi bilioni 80 kufikia Disemba 31 mwaka wa 2022. Omondi: Zaidi ya wakaazi elfu 80 kaunti ya Tana river wanahitaji msaada wa chakula Story by: Our Correspondents Afisa wa Mamlaka ya kukabiliana na ukame kaunti ya Tana River Kennedy Omondi amesema zaidi ya wakaazi elfu 80 katika kaunti hiyo wanahitaji msaada wa dharura wa chakula. Flora: Juhudi zaidi zinahitajika kuboresha elimu Kilifi Story by: Charo Banda Serikali ya kaunti ya Kilifi imeweka wazi kuwa bado elimu katika kaunti hiyo haijafikia viwango hitajika. Mahakama ya Mombasa yamzuiliwa mshukiwa wa mauaji Story by: Taalia Kwekwe Mahakama ya Mombasa imeipa muda zaidi idara ya polisi nchini kukamilisha uchunguzi dhidi ya kesi ya mauaji inayomuandama mwanamume mmoja wa umri wa miaka 20. Shughuli za masomo zimetatizwa katika shule ya msingi ya Nyali Story by: Gabriel Mwaganjoni- Shughuli za masomo zimekatizwa katika shule ya msingi ya Nyali eneo bunge la Nyali kaunti ya Mombasa baada ya wazazi wa shule hiyo kuandamana wakipinga kuajiriwa kwa Naibu mwalimu mkuu mpya shuleni humo. Balozi Mwakwere atangaza kujiuzulu kama Mwenyekiti wa WIPER Story by: Our Correspondents Aliyekuwa Balozi wa Kenya nchini Tanzania Chirau Ali Mwakwere ametangaza kujiuzulu wadhfa wake kama Mwenyekiti wa kitaifa wa chama cha WIPER na mwanachama wa chama hicho. Machogu: Wanafunzi 1,146 wamepata alama ya A kwenye mtihani wa KCSE Story by: Rasi Mangale Waziri wa Elimu nchini Ezekiel Machogu amesema wanafunzi wa mtihani wa kitaifa wa KCSE mwaka wa 2022 wamefanya vyema ikilinganishwa na wale wa mwaka 2021. Shughuli za uchukuzi zatatizwa katika barabara ya Nairobi-Mombasa Story by: Gabriel Mwaganjoni Shughuli za uchukuzi zimetatizwa katika barabara kuu ya kutoka Mombasa kuelekea Nairobi baada ya wakaazi wa eneo bunge la Mwatate kaunti ya Taita taveta kuandamana na kuifunga barabara hiyo wakilalamikia kuhangaishwa na wanyamapori. Mung'aro afika Mahakamani kuhusu kesi ya kupinga ushindi wake Story by: Charo Banda Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro amefika mbele ya Mahakama kuu ya Malindi kutoa ushahidi wake kwenye kesi ya kupinga ushindi wake kama gavana iliyowasilishwa Mahakamani. Wazee wa jamii ya wamijikenda washinikiza ushirikiano kuhakikisha wanapigania raslimali za Pwani Story by our correspondent Baadhi ya wazee wa jamii ya wamijikenda kanda ya Pwani wamejitokeza na kushinikiza ushirikiano wa jamii hiyo ili kuhakikisha wanapigania raslimali za Pwani ikiwemo misitu ya Kaya, ardhi na ajira. Mwanamume mmoja ahukumiwa kifo kwa hatia ya wizi wa kimabavu Picha Kwa Hisani - The Standard Story by: Taalia Kwekwe Mahakama ya mjini Kwale imemuhukumu kifo mwanamume mmoja kwa Jina Joseph Olouch Odhiambo baada ya kupatikana na hatia ya kutekeleza wizi wa mabavu. Wavuvi watatu raia wa Tanzania wameokolewa baada ya kuzama maji Story by Gabriel Mwaganjoni- Wavuvi watatu raia wa Tanzania wameokolewa katika maji makuu ya bahari hindi baada ya boti lao kusombwa na mawimbi makali. Nassir, ahidi kuwajenga uwezo vijana kujikimu kimaisha Story by Gabriel Mwaganjoni- Mwakilishi wa Wadi ya Kadzandani kaunti ya Mombasa Fatuma Swaleh kwa jina maarufu Fatuma Kushe amemsihi Gavana wa kaunti hiyo Abdulswamad Sharif Nassir kuwapatia vijana wanaoshiriki mradi wa kuusafisha mji wa ‘Mombasa ni Yangu’ ajira za kudumu. Mahakama ya Malindi yamzulia mshukiwa wa ulawiti korokoroni Story by Jeff Ngombo- Mwanamume wa umri wa miaka 28 amefikishwa katika Mahakama ya Malindi, kwa tuhuma za kuwalawiti watoto wawili wa kiume katika eneo la Kisumu ndogo mjini Malindi. Mvurya, azindua mradi wa dola milioni 250 kuimarisha sekta ya Kilimo Story by Bakari Ali- Wizara ya Kilimo nchini imezindua mradi wa dola milioni 250 wa kuimarisha sekta ya Kilimo humu nchini, chini ya ufadhili wa benki ya dunia. Mahakama ya Kwale yampata na hatia mwanamume mmoja Story by Taalia & Chiro- Mwanamume mmoja amefikishwa katika Mahakama ya Kwale kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi mwanamke mmoja katika eneo la Kona ya Musa kaunti ya Kwale. Machogu: Wanafunzi wote waliomaliza darasa la nane watajiunga na shule za upili Story by Janet Shume- Waziri wa Elimu nchini Ezekiel Machogu ametangaza rasmi uteuzi wa shule za upili kwa wanafunzi waliokamilisha mitihani ya KCPE mwaka 2022, kwamba watajiunga na shule za upili kuanzia tarehe 6 haid 15 mwezi Februari. Gavana Nassir, ateuwa baraza lake la mawaziri Story by Bakari Ali- Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Sharrif Nassir ametuea kuteua rasmi baraza lake la mawaziri. Afuani kwa Mwangale baada ya kupata matibabu Story by Gabriel Mwaganjoni- Mwanafunzi mmoja wa shule ya msingi ya Bidiinimole kaunti ya Kwale amapeta afueni baada kupata ufadhili wa matibabu katika hospitali kuu ya ukanda wa Pwani, baada ya jicho lake moja kufura na kuharibika kabisa. Wafula: Wanaoendeleza uchimbaji madini Kwale sharti wazingatie sheria Story by Taalia Kwekwe- Mamlaka ya mazingira nchini NEMA imetoa makataa ya siku 14 kwa wale wanaoendeleza shughuli za uchimbaji mawe na mchanga katika kijiji cha Kilole eneo la Kinondo gatuzi dogo la Msambweni kaunti ya Kwale kuzingatia sheria zilizowekwa na serikali. Ruto: Ni wajibu wa kila mkenya kuwajibikia majukumu yake ya kikazi Story by Our Correspondents- Rais William Ruto ameahidi kuhakikisha kila mmoja anawajibikia majukumu yake ya kikazi katika kila sehemu anapofanya kazi ili kuhakikisha taifa hili linasonga mbele kimaendeleo na kuimarika kiuchumi. Muigizaji maarufu wa vihoja Mahakamani ameaga dunia. Story by Our Correspondents- Muigizaji maarufu na mkongwe humu nchini Gibson Gathu Mbugua ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 56. Wanafunzi wa KCPE mwaka 2022 wafanya vyema Story by Hussein Mdune- Baadhi ya shule kutoka kaunti ya Kwale zimefanya vyema katika mtihani wa kitaifa wa darasa la nane KCPE huku shule ya msingi ya kibinafsi ya Mumtaz mwanafunzi wa kwanza akiwa ni Changoma Idd aliyepata alama 404. Machogu: Wanafunzi 252 wa KCPE wamepata alama ya sufuri katika somo waliloshiriki udanganyifu Story by Our Corresponents- Waziri wa elimu nchini Ezekiel Machogu amesema wanafunzi 252 wa mtihani wa KCPE kutoka vituo tisa vya kufanyia mitihani walinaswa wakishiriki udangayifu na kupewa alama sufuri katika somo hilo. Joto: Serikali imechelewesha fedha za ujenzi wa barabara Kwale Story Hussein Mdune- Waziri wa Barabara na kazi za umma kaunti ya Kwale Ali Mwachiribi Joto amesema kuchelewa kwa mgao wa fedha za mwaka 2020/2021 kutoka kwa Bodi ya kitaifa ya maswala ya Barabara ndicho chanzo cha miradi mingi ya barabara kutoendelea kaunti ya Kwale. Mahakama ya Mombasa yafutilia mbali kesi ya mauaji dhidi ya Waziri Aisha Jumwa Story by Our Correspondents- Mahakama kuu mjini Mombasa imefutilia mbali kesi ya mauaji iliyokuwa ikimuandama Waziri wa Jinsia na utumishi wa umma Aisha Jumwa. Bunge la Seneti kujadili hoja ya kubanduliwa kwa gavana Kawira Story by Our Correspondents- Bunge la Seneti alasiri ya leo litakuwa na kikao maalum cha kujadili hoja ya kubanduliwa mamlakani kwa Gavana wa Meru Kawira Mwangaza iliyowasilishwa mbele ya bunge hilo na wawakilishi wadi wa kaunti ya Meru wiki iliyopita. Afisa wa DCI kaunti ya Kilifi amefikishwa Mahakamani kwa kosa la unajisi Story by Ephie Harusi- Afisa wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai nchini DCI, George Mitikowea Nangoye amefikishwa katika Mahakama ya Kilifi kwa madai ya kumnajisi mtoto wa umri wa miaka 16. Onyo kwa wanaotupa taka za kielektrokini na plastiki kiholela Story by Janet Shume- Wadau wa kimazingira katika kaunti ya Kwale wamesema utupaji taka ovyo ikiwemo vifaa vya kielektroniki na chupa za plastiki umechangia uharibifu wa mazingira pamoja na kuathiri afya ya binadamu. Serikali yahimizwa kushirikiana na wadau wa elimu kuboresha sekta ya elimu Pwani Story by Hussein Mdune- Wadau wa maswala ya elimu kaunti ya Kwale wamesema sekta ya elimu nchini itaimarika zaidi iwapo Wizara ya elimu nchini itashirikiana na wadau hao hadi mashinani. Githuku: Ushirikiano wa viongozi utatatua mzozo ya ardhi Story by Our Correspondents- Seneta wa kaunti ya Lamu Joseph Githuku amesema iwapo viongozi wa kaunti ya Lamu watashirikiana vyema basi tatizo la mzozo wa ardhi katika kaunti hiyo litapata suluhu. Rais Ruto, awashauri majaji 20 walioapishwa kuwajibikia majukumu yao Story by Our Correspondents- Majaji 20 waliopendekezwa na Tume ya huduma za Mahakama nchini JSC kuhudumu katika Mahakama kuu wameapishwa rasmi kuanza majukumu yao. Mung'aro: Kaunti ya Kilifi kufufua kilimo cha korosho Story by Ngombo Jeff- Serikali ya kaunti ya Kilifi inalenga kuandaa kongamano na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo ili kujadili hatua mpya za kufufua kilimo cha korosho. Keinan: Ujenzi wa hoteli ya shilingi milioni 150 utaboresha utalii Kilifi Story by Hussein Mdune- Kama njia moja wapo ya kupiga jeki sekta ya utalii katika kaunti Kilifi na ukanda wa Pwani kwa ujumla, Shirika la maendeleo Pwani CDA limezindua rasmi hoteli na nyumba za wageni katika maeneo ya Mnarani kaunti ya Kilifi. Wachuuzi wa Samaki eneo la Kipini walalamikia dhulma za kijinsia Story by GAbriel Mwaganjoni- Wanawake wanaojishughulisha na biashara ya samaki katika eneo la Pwani wamekuwa wakipitia changamoto nyingi ikiwemo kudhulumiwa kingono na wavuvi. Salama: Mradi wa soka kwa wanawake ni mwafaka Story by Taalia Kwekwe- Afisa miradi katika shirika la kijamii la The Hijabi Mentorship Salama Majaliwa amesema wameanzisha miradi mbali mbali ikiwemo ule wa Nikumbuke Soccer kama njia mojawapo ya kuwezesha wanawake mashinani.